maisha ni safari ndefu yana panda na kushuka binaadamu tuwe makini
Related Posts
Karibuni nyumbani yasubuhi yote milele.Sasa nasoma the only disability in life is a bad attitude,Meskiya? Also true happiness lies,first of Continue Reading..
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Mbaullah anavituko sana anapenda kuwa mkweli hapendagi uwongo hivyo ndivyo vituko vyake
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea English but hawatakagi kwambiwa hawajui
Furaha yngu nimuonapo ana smile
Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true or false
mimi ni mimi tu
QATAR
16319
Usililie bahati ya mwenziyo,Mungu atakubarikia yako,usife kuchoka.
Nikipata sio Raha kwa wote, lakini nikikosa nifuraha kwao wote, na watanikujia na ahadi sa mzaada za urongo.
Ukiomba Mola zaada na kufanikiwa pia unakuwa wewe ni luminati.
Huwezi kuwa mwema na kuridhisha wote hata ukiishi musikitini milele