Sub Categories

In every man’s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai 😌
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana 😭
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini 🌝
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae. 😂😂😂😂😂

Loading views...



Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa tumefka ndo nliuawa”manze apo ndo utajua hujui😁😁😁😁😁😁

Loading views...

Unapata Dem amebeba food take away ujue amechukua ugali tatu ya 30bob na mboga ya 10bob🤣🤣🤣

Loading views...


Her:Beb ulisema utanipeleka tour?
Joker smoker: Apana nilisema Twa Twa😂

Loading views...

Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi

Loading views...


List of names to avoid this festive season
Ukiskia umeitwa ivi usiitike na usijaribu kusmile, ni mtegoo
1. Mkubwa
2. Tajiri yangu
3. Mzito
4. Mtu wangu
5. Chief
6. Chairman
7. Boss yangu
8. Babe
9. Sweet heart
10. Heheheee my lost Fren.
11. Boss.
12. Muuuuutunguyaz.
13. Buuuuda.
14. Niaje mzeiya.

Loading views...


Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao.

Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,

Loading views...

*Siyo Lazima Mpenzi wako Akija Mfanye Mapenzi…Kamtembeze Ata Makaburini Umwonyeshe Utakapo Mzika Siku Atacheza Na Hisia Zako

Loading views...

Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu

Loading views...


January imefika wale shamba boy mulikwa ushago mwende Nairobi kufiyeka mboma zatu huko Una enjoy girl friend wako beb Niko busy kwa Office ww

Loading views...


Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu

Loading views...

Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people

Loading views...


Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza

Loading views...

Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati,🙄🙄🙄🙄😏😏😏 bisha Tu mlango ntakuskia nanii

Loading views...

Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁

Loading views...