Sub Categories

asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu

Loading views...



Today a preacher in a public bus started preaching… “Leo nataka kuwasomea barua ya Paulo kwa Warumi”

A drunk man at the back asked him… “Kwa nini utusomee na sisi sio Warumi… Na kwanza nani amekwambia ufungue barua ya wenyewe???”

Loading views...

Day flani tukiwa chuo beste yangu amekam amenipata nje ya dinning hall nmetulia alafu akanisho hivi.
Yeye: niaje bro c unitolee form
Mimi:Ingia halo ndani ya dinning hall kuna form nyingi had zmepanguzwa utoe moja

Loading views...


DNA test ya durha…Buti wamehe xava byala
U n’wa u langutisa nwana kahle

Loading views...

Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!

Loading views...


Mamako anajua unanyonya vutu za kukojoa?

Loading views...


Ushawahi gongewa mlango kwa nguvu ukinyanduana na bae alafu kuenda kufungua unapata ni ule jirani mtiaji amekuja kukuomba chumvi

Loading views...

Mzee alikuwa anaomba Mungu kwa bedroom
na kiingereza “Thank you for Mercy, Thank you
for Joy, Thank you for Grace, I now have
Faith……”
Wife akaingia bedroom kwa fujo na kukatisha
maombi…… “Heh! Nilijua tu huwezi tosheka
na mimi…. Nini umekosa kwangu ndio uende
kwa Mercy, Joy, Grace na Faith???
Mzee akajaribu kumweleza but wife was so
infuriated hakuwa anataka kumwelewa. Wife
akakimbia kitchen akachukua ile kisu kali
kabisa, akangoja mzee alale aanze
kung’orota. Akawekelea maji kwa gas
ikachemka thero-thero-thero. Akachungulia
akaona mzee ako in deep sleep
Akaenda, akachukua kuku walikuwa nayo,
akaichinja na wakati iliiva, akaita bwanake
wakakula pamoja wakaenda pekejeng

Loading views...

Si kampuni ya makeup i strike ndo tujue Wanaume niwangapi hii Kenya

Loading views...


ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole??

Mimi cjawai ?😂

Loading views...


Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ?
Hii kitu inanikula kichwa sana

Loading views...


In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?

Loading views...

First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win.- Mahatma Gandhi @wazimu mkuu

Loading views...