penda anae kupenda asiye kupenda achana nae
Loading views...
penda anae kupenda asiye kupenda achana nae
Loading views...
Ukila raha andaa tumbo la kula shida
Ipo siku swala atamla simba
Loading views...
Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki
Loading views...
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu,
ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Loading views...
Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔
Loading views...
Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge 😂😂
Loading views...
Ile time ume nyandua fame na ngori ya kidogii afu utabike after a few minutes unaskiaga fame aki shuta na nyap
😜
Loading views...
Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
Loading views...
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Loading views...
Mpende akupendae, asiye kupenda mlazimishe akikataa mroge
Loading views...
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice
Loading views...
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
Loading views...
USIPENDE NINACHOPENDA KWA MAANA SIKU NIKIWA NACHO UTATAMAN CHAKWANGU NAWEW UKIWA NACHO NITATAMAN CHAKO
Loading views...
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
Loading views...
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Loading views...
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Loading views...