MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
Loading views...
MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
Loading views...
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Loading views...
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Loading views...
Mbaullah anavituko sana anapenda kuwa mkweli hapendagi uwongo hivyo ndivyo vituko vyake
Loading views...
Karibuni nyumbani yasubuhi yote milele.Sasa nasoma the only disability in life is a bad attitude,Meskiya? Also true happiness lies,first of all in health.Sursunday
Loading views...
Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Loading views...
Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true
or false
Loading views...
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
Loading views...
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea
English but hawatakagi kwambiwa hawajui
Loading views...
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Loading views...
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Loading views...
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake.
Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi tii ana matege makali na makengeza ya maana!!
Jamaa alipo ona sura ya baba mkwe wake imebadilika ikabidi atabasamu kiasi.
Lahaula! Alikuwa na mapengo hana meno yote ya mbele!
Baba akaamua amuite binti yake:
Baba:”Mwanangu hebu twende nje tuongee.”
Binti:”Baba sema hapahapa tu mchumba wangu ni kiziwi.”
.
.
Baba mtu akazimia!!
Loading views...
Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi
kuzungumza kwanza?
Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea
Loading views...
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia
“tenda kawaida, huna hatia”
Loading views...
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Loading views...
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
Loading views...