Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭

Loading views...



Zamani wasichana walipika kama mama zao
lakini saivi wanakunywa kama baba zao

Loading views...

To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🤣🤣
Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Kama ngombe mwaka mzima😭

Loading views...


Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi

Loading views...


Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂

Loading views...


January imefika wale shamba boy mulikwa ushago mwende Nairobi kufiyeka mboma zatu huko Una enjoy girl friend wako beb Niko busy kwa Office ww

Loading views...

Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula 😂😂😂😂😂

Loading views...


Wasee wasee kwenyu nyinyi n wengi hadi mumepewa title

Loading views...


Corona ilifanya poa ku kam 2020.
Ingekam kitu 2006..
Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata

Loading views...

Sio Siri ni serious majini haya tuwezi mageniaus..
and remember to observe believe can help you to do anything you want..

Loading views...


Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako

Loading views...