Ile day utaenda chemist kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje
Loading views...
Ile day utaenda chemist kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje
Loading views...
Zamani wasichana walipika kama mama zao
lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Loading views...
Kujulikana na mother in-law
Si kuolewa,, ulizeni ex wangu
Loading views...
To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje
Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Kama ngombe mwaka mzima
Loading views...
umewahi kasiliswa na mpango wa kando hadi ukataka kambia wife?
Loading views...
Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi
Loading views...
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu
Loading views...
January imefika wale shamba boy mulikwa ushago mwende Nairobi kufiyeka mboma zatu huko Una enjoy girl friend wako beb Niko busy kwa Office ww
Loading views...
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Loading views...
Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula
Loading views...
Wasee wasee kwenyu nyinyi n wengi hadi mumepewa title
Loading views...
Corona ilifanya poa ku kam 2020.
Ingekam kitu 2006..
Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
Loading views...
Sio Siri ni serious majini haya tuwezi mageniaus..
and remember to observe believe can help you to do anything you want..
Loading views...
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Loading views...
Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope
Loading views...
Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako
Loading views...