Sub Categories

January imefika wale shamba boy mulikwa ushago mwende Nairobi kufiyeka mboma zatu huko Una enjoy girl friend wako beb Niko busy kwa Office ww

Loading views...



Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu

Loading views...

*Siyo Lazima Mpenzi wako Akija Mfanye Mapenzi…Kamtembeze Ata Makaburini Umwonyeshe Utakapo Mzika Siku Atacheza Na Hisia Zako

Loading views...

Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao.

Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,

Loading views...


List of names to avoid this festive season
Ukiskia umeitwa ivi usiitike na usijaribu kusmile, ni mtegoo
1. Mkubwa
2. Tajiri yangu
3. Mzito
4. Mtu wangu
5. Chief
6. Chairman
7. Boss yangu
8. Babe
9. Sweet heart
10. Heheheee my lost Fren.
11. Boss.
12. Muuuuutunguyaz.
13. Buuuuda.
14. Niaje mzeiya.

Loading views...

Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi

Loading views...


Her:Beb ulisema utanipeleka tour?
Joker smoker: Apana nilisema Twa Twa😂

Loading views...


Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa tumefka ndo nliuawa”manze apo ndo utajua hujui😁😁😁😁😁😁

Loading views...

Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma

Loading views...


In every man’s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai 😌
Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini huezi ambia watu mshaikulana 😭
Alafu kuna dem ukiambia watu mshaikulana hawaamini 🌝
Alafu kuna dem mnakulananga lakini nyinyi wote hamuezi ambia watu coz mtastopisha reggae. 😂😂😂😂😂

Loading views...


Unakumbuka ukianza insha na….
Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae…

Ona sahii we ndio huyo masikini😂😂😂
*What goes around comes around😏

Loading views...

Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)😂
Haujaenda mjengo😌
Haujafanya promotion ya nodules ama simu😩😫

Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku 😅😂
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle😂

Loading views...


Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network

Loading views...

Form fours are like posting *”stress is over”*😂tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike😂

Loading views...

Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani🤣😂🤣if you know you know

Loading views...