Sub Categories

Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?

Loading views...



Sio Siri ni serious majini haya tuwezi mageniaus..
and remember to observe believe can help you to do anything you want..

Loading views...

mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache wizi……😂😂😆😆😆🤣🤣

Loading views...


Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem tuwache maringo ukiwa umebeba haaga ,,,,,”hiyo ni ujinga umebeba”.

Loading views...

Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege

Loading views...


Hakika umefanyika bubujiko la nafsi yangu na kunifanya kuwa wakipekee kwako also all in all when i’m feel in love i see you my love

Loading views...


Titi taaa tete kumilife is short so smile
whole still hve a chance to do so

Loading views...

Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao

Loading views...


Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????

Loading views...


Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life

Loading views...

Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Loading views...


Kuna mtu huku ndani hananga kazi.. Yeye hushinda kuitisha pics za watu then ako zile za… Wow, nice, cute, sexy. . 😂

Loading views...

Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi
Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!
Panya 2 Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa
RAT 3 Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!
.
.Panya WA 1 na 2 wakazimia😆😆😆😆😆
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa
😁😁😁😂😂😂

Loading views...

Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂

Loading views...