Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Related Posts
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura☹
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!
Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2 🤣🤣🤣🤣
Siasa ni kama ndoa, ikuvunjika wengi ulia sana
em wangu aliniambia ka ninataka Mapenzi nitumia number Bluutooth