Sub Categories

Ata uwe na haraka kiac gani lazima matako uyaache nyuma

Loading views...



Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai

Loading views...

Tajiri Au Masikini Wote Tuna Masaa 24⏲️Kila Siku..

Chagua Vizuri Jinsi Ya Kutumia Muda Wako…✍🏼

Loading views...

Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;”
Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂

Loading views...


Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia

Loading views...

Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda

Loading views...


Wasee wasee kwenyu nyinyi n wengi hadi mumepewa title

Loading views...


Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi

Loading views...

Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume

Loading views...


Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging

Loading views...


Uzuri wa kunyonga monkey unaweza adjust iwe tight ama mtaro!!😏
Vile unataka

Loading views...

Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly🙉 wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie🤪 hatupendi ujinga

Loading views...


Kujulikana na mother in-law
Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂

Loading views...