Sub Categories

Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚



Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia
โ€œtenda kawaida, huna hatiaโ€

Mungu yu mwema kwangu sijui kwako


Uko wapi we minagawa pesa sahizi


Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa


Furaha usoni, maumivu noyoni.


Hii Nairobi kama hujaact setbooks
Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)๐Ÿ˜‚
Haujaenda mjengo๐Ÿ˜Œ
Haujafanya promotion ya nodules ama simu๐Ÿ˜ฉ๐Ÿ˜ซ

Halafu kuna ile walk ya kiadvatise pizza na kuku ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚
My friend hakuna kitu utaniambia kuhusu kuhustle๐Ÿ˜‚


Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi
kuzungumza kwanza?
Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea

Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga


Usitake Leo iwe historia Ila acha historia Itakapofikia kuwa historia

Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali โ€œState 3 characteristics of bromineโ€ Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine๐Ÿ˜