Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice

Loading views...



USIPENDE NINACHOPENDA KWA MAANA SIKU NIKIWA NACHO UTATAMAN CHAKWANGU NAWEW UKIWA NACHO NITATAMAN CHAKO

Loading views...

Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂

Loading views...


Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜

Loading views...

Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy

Loading views...


Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni

Loading views...


Et ooo babe nkupenda pekeako ukome mi sijafundishwa ivo kwenye maish kumpenda mtu 1 sina tabia izo za jini😂😂😂

Loading views...

Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏

Loading views...


Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣

Loading views...


To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🤣🤣
Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Kama ngombe mwaka mzima😭

Loading views...

Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭

Loading views...


Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭

Loading views...