Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??😯😑

Me: sisi thy mean bayapenda

Loading views...



Him: hae
Her:moglobin
Him: wacha hizo ww
Her:zipi….unasemaje
Him:unaitwa?
Her:mzimu…uko nalaziada
Him:Thai…Dina
😂😂😂😅

Loading views...

Do not let any one to know. Am telling u a big secret.
It is only between us okay. Ati nimeskia kama Kenya iko Africa ??ni kweli ama??🤣🤣🤣🤣

Loading views...

Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala

Loading views...


Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani

Loading views...

Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba

Loading views...


penda anae kupenda asiye kupenda achana nae

Loading views...


Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki

Loading views...

Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu,
ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?

Loading views...


Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔

Loading views...


Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge 😂😂

Loading views...

Ile time ume nyandua fame na ngori ya kidogii afu utabike after a few minutes unaskiaga fame aki shuta na nyap
😜

Loading views...


Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????

Loading views...

I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta

Loading views...

Mpende akupendae, asiye kupenda mlazimishe akikataa mroge

Loading views...