Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu,
ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?

Loading views...



Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu

Loading views...

Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani🤣😂🤣if you know you know

Loading views...

Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala

Loading views...


Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula 😂😂😂😂😂

Loading views...

Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza

Loading views...


Do not let any one to know. Am telling u a big secret.
It is only between us okay. Ati nimeskia kama Kenya iko Africa ??ni kweli ama??🤣🤣🤣🤣

Loading views...


Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi

Loading views...

Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika

Loading views...


Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭

Loading views...


List of names to avoid this festive season
Ukiskia umeitwa ivi usiitike na usijaribu kusmile, ni mtegoo
1. Mkubwa
2. Tajiri yangu
3. Mzito
4. Mtu wangu
5. Chief
6. Chairman
7. Boss yangu
8. Babe
9. Sweet heart
10. Heheheee my lost Fren.
11. Boss.
12. Muuuuutunguyaz.
13. Buuuuda.
14. Niaje mzeiya.

Loading views...

Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise

Loading views...


Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣

Loading views...

Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people

Loading views...

Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope

Loading views...