Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice
Loading views...
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice
Loading views...
Mpende akupendae, asiye kupenda mlazimishe akikataa mroge
Loading views...
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Loading views...
Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
Loading views...
Ile time ume nyandua fame na ngori ya kidogii afu utabike after a few minutes unaskiaga fame aki shuta na nyap
Loading views...
Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge
Loading views...
Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau
Loading views...
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu,
ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Loading views...
Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki
Loading views...
Ukila raha andaa tumbo la kula shida
Ipo siku swala atamla simba
Loading views...
penda anae kupenda asiye kupenda achana nae
Loading views...
Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba
Loading views...
Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani
Loading views...
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Loading views...
Do not let any one to know. Am telling u a big secret.
It is only between us okay. Ati nimeskia kama Kenya iko Africa ??ni kweli ama??
Loading views...
Him: hae
Her:moglobin
Him: wacha hizo ww
Her:zipi….unasemaje
Him:unaitwa?
Her:mzimu…uko nalaziada
Him:Thai…Dina
Loading views...