karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Loading views...
karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Loading views...
Pain ya go nyesa ke mjolo kwa yeno o na le gate ya maotwana
Loading views...
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu
nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…
Loading views...
Hii upuzi ya unauliza dame
hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why
Loading views...
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi
Loading views...
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Loading views...
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa
Loading views...
Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope
Loading views...
Kama Adam na Eva walikula apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?
Loading views...
Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako
Loading views...
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu
Loading views...
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Loading views...
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Loading views...
Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Loading views...
Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo,
kumbe nao ni ushezi
Loading views...
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
Loading views...