Sub Categories

Ety demu kwakwmbia uwende kwao kwakuwa mama yake ayupo,
kumbe nao ni ushezi

Loading views...



Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako

Loading views...

Kama Adam na Eva walikula 🍎 apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?

Loading views...

Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂

Loading views...

nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁

Loading views...


Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe

Loading views...


Hii upuzi ya unauliza dame 😂
hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why🥴

Loading views...

Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu
nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…

Loading views...

Pain ya go nyesa ke mjolo kwa yeno o na le gate ya maotwana

Loading views...


karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob

Loading views...


Nampenda bwana yesu Sikh zote za maisha yangu kwani yeye ndiye mwenye kunipendeza na hakuna mwingine zaidi yake katika maisha yangu. Ahsante yesu kwa kunijalia afya njema ,kunikinga na na maradhi kuniepusha dhoruba za dunia hii na uzidi kuendelea kuniepusha tena na tena mpaka hapo utakapo niita baba yetu .ahsante baba kwa ridhiki unayonijalia kila siku, bariki mazao yangu ya shamba pia bariki biashara yangu iwe na Wateja wengi na I we endelevu,naomba ktk jina la yesu amina

Loading views...

Msukuma wa ukwel asema: The collection of grasshoppers is in the morning / Isunga ng’humbi lilidilu/ ukusanyaji wa panzi ni asubuhi, maana yake aanza kusaka maisha mapema, usingoje baadaye.

Loading views...


Mungu wetu ni wa heri kwa wote asuh naiona nyepesi japo mfukoni nina shiling hamsin chanji iliyo baki ya vitumbua jana. Naish vp chana akil inaitijika

Loading views...

Mungu ndie mgawa riziki ko usijisumbue kwenda kwa waganga kwaaajir ya kuziba riziki yangu unajisumbua nibora ukakaa ukatathimin kwamba mbona mwenzangu kafanikiwa ko njoooo nikupe siri ya mafanikio sio kwenda kwa waganga

Loading views...

LOVE IS LOVE MY FRIEND but Love is verry complicated in this world tunaweza kupendana kati yangu na mschana arakini ukakuta kama akunda mtu anafurahiya mapenzi yetu ndio mnaa kira mtu akuwe ana acha mngu ataware upendo wake na huyo mwana mke kwa ju bakijitawara nanaweza Angamia siyo kitu laisi bwana ni kwenda pole pole man.

Loading views...