Sub Categories

Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi

Loading views...



Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume

Loading views...

Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau

Loading views...


Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia

Loading views...

Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda

Loading views...


Wasee wasee kwenyu nyinyi n wengi hadi mumepewa title

Loading views...


Tajiri Au Masikini Wote Tuna Masaa 24⏲️Kila Siku..

Chagua Vizuri Jinsi Ya Kutumia Muda Wako…✍🏼

Loading views...

Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;”
Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂

Loading views...

Ata uwe na haraka kiac gani lazima matako uyaache nyuma

Loading views...


Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai

Loading views...


Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
😀😀😀🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

Loading views...

Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂

Loading views...


Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga

Loading views...