Kama Adam na Eva walikula 🍎 apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?



Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa tumefka ndo nliuawa”manze apo ndo utajua hujui😁😁😁😁😁😁

Hii upuzi ya unauliza dame πŸ˜‚
hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini whyπŸ₯΄

nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesaπŸ˜²πŸ€£πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ€”πŸ˜


*Girl;* babe leo hakuna magari nalala kwa beshte yangu nikam keshoπŸ™‚

*boy;* poa hun, hata monica beshte yako ako hapa akuna gari anadoz akungoje ukam keshoπŸ€“
*Girl;* 😳bby kuna gari nimeona hapa ya takataka acha nione ka itanibeba

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½


Ile time dryspell zimeku zidy afu mnakuaga na mboch mokorino πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Zamani wasichana walipika kama mama zao
lakini saivi wanakunywa kama baba zao

If my mother is not happy with
Me being in her house,she must
Move out,I’m in my mothers house,
She must go to her mother’s house
Mongwe Le Mongwe Ga Mmagwe!

Bak in skull ukiwa Dom….
we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima


Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ


Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Kesho kabla ya kikwara wa kwanza kupiga mswaki.kama hutakuja utatembelewa na baby wa ma Baby. Olewako sina huruma na hii kesi.Hello statu up you nau don’t giverup.