Maisha ni mlima kupanda na kushuka
Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
Uko wapi we minagawa pesa sahizi
At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.
Jacaylka midopa cidi ku mashqusha maxkamada halla saaro
akil ni nyele kila mtu ana zake
Mungu yu mwema kwangu sijui kwako
Furaha usoni, maumivu noyoni.
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Furaha yngu nimuonapo ana smile