Wakati wowote mkia hautikisi ngo,
mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia

Loading views...



Zamani wasichana walipika kama mama zao
lakini saivi wanakunywa kama baba zao

Loading views...

Zamani watu wenye pesa nyingi ndo walikuwa wanatafuta wanawake wazuri, but now days wanawake ndo wanatafuta watu wenye pesa…
Maisha yanabadilika?
Lakini huwezi kuamini kuwa fikra zao zote zinaamini kuwa “pesa” ndo kila ki2…..? @
Napenda kuwakumbusa kuwa si kweli hata kidogo Amini kuna vitu “pesa” haiwezi nunua mfano
“Upendo” Tabia na mengine mengi
M/mungu ndie kila ki2 kwe2 hata ukatae ukubalii ndo hvyoo…

Msipofikilia vzr mtapata tabu xnaa

Loading views...

Unataka kucheza n ingali umesimama Aaaaah inama inama

Loading views...


Ao Khape Blesser Ge A Fithla Gate’ng Ya Ko Geno A Re
“Jbanh O Ngwana Wa Mbali?

Loading views...

When she’s hot as fuck but flopo eore a nkga legano 😒😒 you’ll end up saying things like “etlwa colgate ye enale swikiri ye nchi bjang”.. before you kiss her

Loading views...


phone yaka e wetse kara pitsa ya motepa wao fisa… i’m worried about you guys , a LA fisa ke motepa ??

Loading views...


Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like:
“Jesu nangu lo”

Loading views...

Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.

Loading views...


Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Kesho kabla ya kikwara wa kwanza kupiga mswaki.kama hutakuja utatembelewa na baby wa ma Baby. Olewako sina huruma na hii kesi.Hello statu up you nau don’t giverup.

Loading views...


Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa

Loading views...

Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet

Loading views...


Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia
“tenda kawaida, huna hatia”

Loading views...

Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi
kuzungumza kwanza?
Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea

Loading views...

Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake.

Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi tii ana matege makali na makengeza ya maana!!

Jamaa alipo ona sura ya baba mkwe wake imebadilika ikabidi atabasamu kiasi.
Lahaula! Alikuwa na mapengo hana meno yote ya mbele!

Baba akaamua amuite binti yake:

Baba:”Mwanangu hebu twende nje tuongee.”

Binti:”Baba sema hapahapa tu mchumba wangu ni kiziwi.”
.
.
Baba mtu akazimia!!

Loading views...