Sub Categories

Eti nikifa nikazikwe singida👌👌 uliacha nauli kwani😆😂🤣🤣😂😂🤣🤣

Loading views...



Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi

Loading views...


If my mother is not happy with
Me being in her house,she must
Move out,I’m in my mothers house,
She must go to her mother’s house
Mongwe Le Mongwe Ga Mmagwe!

Loading views...


Juz kadem nilikatext kakaniuliza nimepata wapi no yake nikakaambia nimepew offer ya namba yake na safcom

Loading views...


Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,,
inasemekana uwa nakula kama nmelala.

Loading views...

Bak in skull ukiwa Dom….
we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima

Loading views...

Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende.
Hizi ngozi mbili zinafanana sana…
waaah can’t spot the difference! Men

Loading views...


Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa

Loading views...


Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula 😂😂😂😂😂

Loading views...

Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa
i love you wanasema water suprise

Loading views...


Dame:Babe nko na ball
Boyie:leta tucheze futa atleast tufanye maexercise
Dame:si ivo😊nko nimebemba
Boyie:Nini tena?… Umechoka nikusaidaie…
Dame:Nkt😅acha kujifanya huelewi
Boyie:Bydah nani alikubuyia..??na mbona hukunxhw nikubuyie?… Dats means unancheza…. Wacha tu tuachane peacefuly…
Dame:Aky babe namaanxha nko pregnant….
Boyie:Ulitoa wapi😱🙊
Dame:Ni yako🙈🙈🙈🙈
Boyie:💃👋👋👋👋👍👍👍👍👍👏👏nlitaka ivo coz uliwa unaniringia… RINGA SASA TUONE
Dame:sawa tu….🙈🙊🙊🙊🙈🙈🙈😅😅😢😢😱😱😱😱😱??????
Boyie:Naga nima ndukoragwa na mutwe mwega
Dame:Onawe thii okiomaga

Loading views...

Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU,
inabidi uombe maji ya kunywa…

Loading views...

Ushawai kuwa single for so long Hadi
unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣

Loading views...