Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂
Related Posts
Dactari akioa nurse wanaweza zaa mgonjwa ?
Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai
Mtu mmoja amekimbia paka sikio lake ameguza chini
Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani🤣😂🤣if you know you know
Titi taaa tete kumilife is short so smile whole still hve a chance to do so
Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
Form fours are like posting *”stress is over”*😂tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike😂
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura☹
