Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂
Related Posts
DNA test ya durha…Buti wamehe xava byala U n’wa u langutisa nwana kahle
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao. Huyu amaweka family Continue Reading..
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
