Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂
Related Posts
Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Ao Khape Blesser Ge A Fithla Gate’ng Ya Ko Geno A Re “Jbanh O Ngwana Wa Mbali?
Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi kuzungumza kwanza? Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea
Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge 😂😂
