Dame : konda hii belt haiingii
Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
Corona ilifanya poa ku kam 2020. Ingekam kitu 2006.. Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
WELCOME TO KENYA Where people leave as they return “acha niende ivi nakam”…. Where the husband huitwa baby and the Continue Reading..
Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa
Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2 🤣🤣🤣🤣
Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao. Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *