Wakati wowote mkia hautikisi ngo, mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma
penda anae kupenda asiye kupenda achana nae
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndaniif you know you know
Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake. Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi Continue Reading..
First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win.- Mahatma Gandhi @wazimu mkuu