Dame : konda hii belt haiingii
Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET?? Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule Continue Reading..
Zamani watu wenye pesa nyingi ndo walikuwa wanatafuta wanawake wazuri, but now days wanawake ndo wanatafuta watu wenye pesa… Maisha Continue Reading..
Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi
Kuna day tulienda na alkey kwa supper 😜😜
Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Na hats uwe unapenda vipi Kumenya viungo vya mboga Lakini huwezi kumenya pilipili au bamia”
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *