Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁
Related Posts
Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako
Si kampuni ya makeup i strike ndo tujue Wanaume niwangapi hii Kenya
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende. Hizi ngozi mbili zinafanana sana… Continue Reading..
karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi 🤣🤣🤣🤣🤣
