Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine
Related Posts
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
* uzuri wa mtaro ni eti ukimwaga ndani kwa makosa na anze kulia unaweza ingiza kikombe na uchote….
Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
Kuna mtu huku ndani hananga kazi.. Yeye hushinda kuitisha pics za watu then ako zile za… Wow, nice, cute, sexy. Continue Reading..
Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.
Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!