Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁
Related Posts
*Girl;* babe leo hakuna magari nalala kwa beshte yangu nikam kesho🙂 *boy;* poa hun, hata monica beshte yako ako hapa Continue Reading..
Bak in skull ukiwa Dom…. we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Continue Reading..
First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win.- Mahatma Gandhi @wazimu mkuu
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂
