Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁
Related Posts
Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina 😂😂😂😅
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao. Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda
Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
