Sometimes I really wonder, tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Corona ilifanya poa ku kam 2020. Ingekam kitu 2006.. Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
em wangu aliniambia ka ninataka Mapenzi nitumia number Bluutooth
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET?? Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule Continue Reading..
Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole?? Mimi cjawai ?😂
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *