Sometimes I really wonder, tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Her: Yoyaah Arfoza Meh: Yoyaah Her: Manjet Meh: Man ni mtu na jet ni ndege One word for Arfoza
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
Kujulikana na mother in-law Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Uzuri wa kunyonga monkey unaweza adjust iwe tight ama mtaro!!😏 Vile unataka
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *