Sometimes I really wonder, tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
umewahi kasiliswa na mpango wa kando hadi ukataka kambia wife?
Ushahi argue na mutu alafu anakushow Sasa unataka kulia 😂😂😂😂😂😥💔 Walai hio kitu hainaga cameback
In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
*Girl;* babe leo hakuna magari nalala kwa beshte yangu nikam kesho🙂 *boy;* poa hun, hata monica beshte yako ako hapa Continue Reading..
Ushai chunwa kinyambio na mgenge😂😂😂😂😃
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. 😂😂
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *