Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people
Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣
Mtu mmoja amekimbia paka sikio lake ameguza chini
Ujinga nini? Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari! Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!
Maisha ni siri Nan wakuifichua??? 🤔🤔🤔🤔
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Mamako anajua unanyonya vutu za kukojoa?
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *