Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
Hakika umefanyika bubujiko la nafsi yangu na kunifanya kuwa wakipekee kwako also all in all when i’m feel in love Continue Reading..
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura
Ujinga nini? Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari! Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake. Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi Continue Reading..
Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba
Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like: “Jesu nangu lo”
Kuna mtu huku ndani hananga kazi.. Yeye hushinda kuitisha pics za watu then ako zile za… Wow, nice, cute, sexy. Continue Reading..