Dame : konda hii belt haiingii
Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Mpende akupendae, asiye kupenda mlazimishe akikataa mroge
Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??😯😑 Me: sisi thy mean Continue Reading..
Sijai sikia mganga anatibu nguvu za kike kwani wanawake wote mko sawa
Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *