Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho ya mguu na kitanda, kuturn kidogo unaangukia ndoo za maji yanamwangika, unatereza kwa hayo maji unaangukia tv, na wire ya stima inakupinga shock kwa mgongo. unasimama na uchovu, maumivu, hasira na hasara. kufika kwa mlango kufungua unapatana na jamaa kwa mlango anasema, ” Habari yako? naregister lines za Orange!” utafanya? 😂😂
Related Posts
……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..
DNA test ya durha…Buti wamehe xava byala U n’wa u langutisa nwana kahle
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
WELCOME TO KENYA Where people leave as they return “acha niende ivi nakam”…. Where the husband huitwa baby and the Continue Reading..
Mtu mmoja amekimbia paka sikio lake ameguza chini
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Dame:Babe nko na ball Boyie:leta tucheze futa atleast tufanye maexercise Dame:si ivo😊nko nimebemba Boyie:Nini tena?… Umechoka nikusaidaie… Dame:Nkt😅acha kujifanya huelewi Continue Reading..
Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope
