Zamani watu wenye pesa nyingi ndo walikuwa wanatafuta wanawake wazuri, but now days wanawake ndo wanatafuta watu wenye pesa…
Maisha yanabadilika?
Lakini huwezi kuamini kuwa fikra zao zote zinaamini kuwa “pesa” ndo kila ki2…..? @
Napenda kuwakumbusa kuwa si kweli hata kidogo Amini kuna vitu “pesa” haiwezi nunua mfano
“Upendo” Tabia na mengine mengi
M/mungu ndie kila ki2 kwe2 hata ukatae ukubalii ndo hvyoo…
Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende.
Hizi ngozi mbili zinafanana sana…
waaah can’t spot the difference! Men
If my mother is not happy with
Me being in her house,she must
Move out,I’m in my mothers house,
She must go to her mother’s house
Mongwe Le Mongwe Ga Mmagwe!