Sub Categories

Zamani watu wenye pesa nyingi ndo walikuwa wanatafuta wanawake wazuri, but now days wanawake ndo wanatafuta watu wenye pesa…
Maisha yanabadilika?
Lakini huwezi kuamini kuwa fikra zao zote zinaamini kuwa “pesa” ndo kila ki2…..? @
Napenda kuwakumbusa kuwa si kweli hata kidogo Amini kuna vitu “pesa” haiwezi nunua mfano
“Upendo” Tabia na mengine mengi
M/mungu ndie kila ki2 kwe2 hata ukatae ukubalii ndo hvyoo…

Msipofikilia vzr mtapata tabu xnaa



Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe…
Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….

Ushawai kuwa single for so long Hadi
unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣


Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU,
inabidi uombe maji ya kunywa…

Dame:Babe nko na ball
Boyie:leta tucheze futa atleast tufanye maexercise
Dame:si ivo😊nko nimebemba
Boyie:Nini tena?… Umechoka nikusaidaie…
Dame:Nkt😅acha kujifanya huelewi
Boyie:Bydah nani alikubuyia..??na mbona hukunxhw nikubuyie?… Dats means unancheza…. Wacha tu tuachane peacefuly…
Dame:Aky babe namaanxha nko pregnant….
Boyie:Ulitoa wapi😱🙊…
Dame:Ni yako🙈🙈🙈🙈
Boyie:💃👋👋👋👋👍👍👍👍👍👏👏nlitaka ivo coz uliwa unaniringia… RINGA SASA TUONE
Dame:sawa tu….🙈🙊🙊🙊🙈🙈🙈😅😅😢😢😱😱😱😱😱??????
Boyie:Naga nima ndukoragwa na mutwe mwega
Dame:Onawe thii okiomaga


Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende.
Hizi ngozi mbili zinafanana sana…
waaah can’t spot the difference! Men


Bak in skull ukiwa Dom….
we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima

Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,,
inasemekana uwa nakula kama nmelala.

Juz kadem nilikatext kakaniuliza nimepata wapi no yake nikakaambia nimepew offer ya namba yake na safcom


If my mother is not happy with
Me being in her house,she must
Move out,I’m in my mothers house,
She must go to her mother’s house
Mongwe Le Mongwe Ga Mmagwe!


Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi


Ujinga nini?
Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari!
Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!