Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ?
Hii kitu inanikula kichwa sana
Related Posts
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Unapata Dem amebeba food take away ujue amechukua ugali tatu ya 30bob na mboga ya 10bob🤣🤣🤣
nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi 🤣🤣🤣🤣🤣
List of names to avoid this festive season Ukiskia umeitwa ivi usiitike na usijaribu kusmile, ni mtegoo 1. Mkubwa 2. Continue Reading..
In every man’s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai 😌 Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini Continue Reading..
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake. Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi Continue Reading..
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁