Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati,🙄🙄🙄🙄😏😏😏 bisha Tu mlango ntakuskia nanii
Related Posts
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;” Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂
WELCOME TO KENYA Where people leave as they return “acha niende ivi nakam”…. Where the husband huitwa baby and the Continue Reading..
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem Continue Reading..
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Why fire kempinski staff for doing it we all do it, the riskier the place the better. They didn’t tell Continue Reading..
