Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
Related Posts
Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like: “Jesu nangu lo”
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia “tenda kawaida, huna hatia”
Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani
Ushahi argue na mutu alafu anakushow Sasa unataka kulia Walai hio kitu hainaga cameback
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta