Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa i love you wanasema water suprise
Siasa ni kama ndoa, ikuvunjika wengi ulia sana
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
Kujulikana na mother in-law Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Ao Khape Blesser Ge A Fithla Gate’ng Ya Ko Geno A Re “Jbanh O Ngwana Wa Mbali?
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *