In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?
Related Posts
Hii Nairobi kama hujaact setbooks Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)😂 Haujaenda mjengo😌 Haujafanya promotion ya nodules ama Continue Reading..
Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like: “Jesu nangu lo”
Ushai chunwa kinyambio na mgenge😂😂😂😂😃
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
In every man’s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai 😌 Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini Continue Reading..
karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Kama anaringa sana usishinde ukijisumbua tuone kama atajikula😜😛😛😜
