In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?
Related Posts
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia “tenda kawaida, huna hatia”
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Aahahaha ujinga n kubuy kiberitti tano n kujaribu k zote zina waka
Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura☹
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba
