Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice
Related Posts
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
*After KCPE Results* *Dad:* how’s the results *Son:* INEOS daddy *Dad:* whats that ?? *Son:* 159 *Dad:* whaaat?? *Son:* Kipchoge Continue Reading..
Hii upuzi ya unauliza dame hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why
Relationship stress ekago dira o nyake seat belt ko toilet seat
Corona ilifanya poa ku kam 2020. Ingekam kitu 2006.. Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati, bisha Tu mlango ntakuskia Continue Reading..