Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice
Related Posts
Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati,🙄🙄🙄🙄😏😏😏 bisha Tu mlango ntakuskia Continue Reading..
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji
Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao. Huyu amaweka family Continue Reading..
