Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Related Posts
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people
Ata uwe na haraka kiac gani lazima matako uyaache nyuma
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Eti nikifa nikazikwe singida👌👌 uliacha nauli kwani😆😂🤣🤣😂😂🤣🤣
Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;” Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂
Tajiri Au Masikini Wote Tuna Masaa 24⏲️Kila Siku.. Chagua Vizuri Jinsi Ya Kutumia Muda Wako…✍🏼
……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..