Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Related Posts
Hii Nairobi kama hujaact setbooks Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)😂 Haujaenda mjengo😌 Haujafanya promotion ya nodules ama Continue Reading..
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope
Demu:babe leo bata wap?? Boy:kwani wewe unataka tukale wap??? Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa Boy:acha ufala leo bata kwani uja Continue Reading..
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo