Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Related Posts
Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??😯😑 Me: sisi thy mean Continue Reading..
Mzee alikuwa anaomba Mungu kwa bedroom na kiingereza “Thank you for Mercy, Thank you for Joy, Thank you for Grace, Continue Reading..
Si kampuni ya makeup i strike ndo tujue Wanaume niwangapi hii Kenya
Titi taaa tete kumilife is short so smile whole still hve a chance to do so
Maisha ni siri Nan wakuifichua??? 🤔🤔🤔🤔
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa