Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Related Posts
List of names to avoid this festive season Ukiskia umeitwa ivi usiitike na usijaribu kusmile, ni mtegoo 1. Mkubwa 2. Continue Reading..
Siasa ni kama ndoa, ikuvunjika wengi ulia sana
Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network
Pain ya go nyesa ke mjolo kwa yeno o na le gate ya maotwana
WELCOME TO KENYA Where people leave as they return “acha niende ivi nakam”…. Where the husband huitwa baby and the Continue Reading..
Tajiri Au Masikini Wote Tuna Masaa 24Kila Siku.. Chagua Vizuri Jinsi Ya Kutumia Muda Wako…
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume