Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Related Posts
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
Her:Beb ulisema utanipeleka tour? Joker smoker: Apana nilisema Twa Twa😂
Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
Zamani watu wenye pesa nyingi ndo walikuwa wanatafuta wanawake wazuri, but now days wanawake ndo wanatafuta watu wenye pesa… Maisha Continue Reading..
Titi taaa tete kumilife is short so smile whole still hve a chance to do so
Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..