Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Related Posts
ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole?? Mimi cjawai ?😂
Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa 😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..
Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they Continue Reading..
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??😯😑 Me: sisi thy mean Continue Reading..