Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
akil ni nyele kila mtu ana zake
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea English but hawatakagi kwambiwa hawajui
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Kupata picha kali kali za madada wa kike ambao watanifurahixha nataka kujiunga na group –
Mungu yu mwema kwangu sijui kwako
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *