Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe… Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…
ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole?? Mimi cjawai ?
Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like: “Jesu nangu lo”
DNA test ya durha…Buti wamehe xava byala U n’wa u langutisa nwana kahle
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *