Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁
Related Posts
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. 😂😂
Dame:Babe nko na ball Boyie:leta tucheze futa atleast tufanye maexercise Dame:si ivo😊nko nimebemba Boyie:Nini tena?… Umechoka nikusaidaie… Dame:Nkt😅acha kujifanya huelewi Continue Reading..
Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki
Wasee wasee kwenyu nyinyi n wengi hadi mumepewa title
Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they Continue Reading..
*After KCPE Results* *Dad:* how’s the results *Son:* INEOS daddy *Dad:* whats that ?? *Son:* 159 *Dad:* whaaat?? *Son:* Kipchoge Continue Reading..
Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
