Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁
Related Posts
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Her:Beb ulisema utanipeleka tour? Joker smoker: Apana nilisema Twa Twa😂
Ile time dryspell zimeku zidy afu mnakuaga na mboch mokorino 😂😂😂😂😂😂😂😂
Na hats uwe unapenda vipi Kumenya viungo vya mboga Lakini huwezi kumenya pilipili au bamia”
Bak in skull ukiwa Dom…. we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
