Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics za Bro wa mine😁
Related Posts
*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao. Huyu amaweka family Continue Reading..
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Ujinga nini? Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari! Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
