Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati,πππππππ bisha Tu mlango ntakuskia nanii
Related Posts
Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope
Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisemaβ¦.βmahali hapa Continue Reading..
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hiiβ¦
em wangu aliniambia ka ninataka Mapenzi nitumia number Bluutooth
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesaπ²π€£ππππ€π
Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem Continue Reading..
In every manβs life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai π Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini Continue Reading..