Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
Related Posts
Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa Continue Reading..
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Her: Yoyaah Arfoza Meh: Yoyaah Her: Manjet Meh: Man ni mtu na jet ni ndege One word for Arfoza
Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau
Kombowa wakati usilale hamka usilemahe Ufalume wa mbinguni hupatikana kwabiddi sana usihishi bila kukosa lengo mahishani mwako
Kujulikana na mother in-law Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya Continue Reading..