Kuna mtu huku ndani hananga kazi.. Yeye hushinda kuitisha pics za watu then ako zile za… Wow, nice, cute, sexy. . 😂
Related Posts
Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2 🤣🤣🤣🤣
Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki
Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?
Sijai sikia mganga anatibu nguvu za kike kwani wanawake wote mko sawa