Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Related Posts
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Titi taaa tete kumilife is short so smile whole still hve a chance to do so
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network
Wasee wasee kwenyu nyinyi n wengi hadi mumepewa title
Sometimes I really wonder, tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati,🙄🙄🙄🙄😏😏😏 bisha Tu mlango ntakuskia Continue Reading..
Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they Continue Reading..