Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Related Posts
Uzuri wa kunyonga monkey unaweza adjust iwe tight ama mtaro!!😏 Vile unataka
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🤣🤣 Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Continue Reading..
Aahahaha ujinga n kubuy kiberitti tano n kujaribu k zote zina waka
Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao. Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,
Wakati wowote mkia hautikisi ngo, mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Eti nikifa nikazikwe singida👌👌 uliacha nauli kwani😆😂🤣🤣😂😂🤣🤣