Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Related Posts
Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao. Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
Ndio maana wakaitwa majizi wapo juu dereva wata muonea wapi
Kuchh wr