Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini.
Wakati basi linatembea
waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed ngapi? maana huku speed 80.wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui mana hata dreva bado hajaja!
Related Posts
Ao Khape Blesser Ge A Fithla Gate’ng Ya Ko Geno A Re “Jbanh O Ngwana Wa Mbali?
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa Continue Reading..
Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro
Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????