Today a preacher in a public bus started preaching… “Leo nataka kuwasomea barua ya Paulo kwa Warumi”
A drunk man at the back asked him… “Kwa nini utusomee na sisi sio Warumi… Na kwanza nani amekwambia ufungue barua ya wenyewe???”
Related Posts
Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya Continue Reading..
*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao. Huyu amaweka family Continue Reading..
Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like: “Jesu nangu lo”
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
Nakumbuka Chemistry paper 1 kulikuwa na hii swali “State 3 characteristics of bromine” Sasa mimi na ujinga yangu nikaandika characteristics Continue Reading..
DNA test ya durha…Buti wamehe xava byala U n’wa u langutisa nwana kahle
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura☹