Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!
Related Posts
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. 😂😂
Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Form fours are like posting *”stress is over”*😂tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike😂
