Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!
Related Posts
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura☹
Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
phone yaka e wetse kara pitsa ya motepa wao fisa… i’m worried about you guys , a LA fisa ke Continue Reading..
