Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!
Related Posts
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like: “Jesu nangu lo”
My future wife si uje ama nifungue butchery na hizi ngombe za dowry
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
*Siyo Lazima Mpenzi wako Akija Mfanye Mapenzi…Kamtembeze Ata Makaburini Umwonyeshe Utakapo Mzika Siku Atacheza Na Hisia Zako
